• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MBUNGE FLATEI AZINDUA MRADI WA JOSHO GARKAWE.

Kurushwa hewani: January 5th, 2024

Na Ruth Kyelula, Mbulu Dc.

Mbunge wa Mbulu vijijini Flatei Massay, amewataka wananchi wa Garkawe walitumie vizuri josho na kulilinda ili huduma hiyo iendelee kuwasaidia wakazi wote wa Garkawe na vijiji jirani.

Mheshimiwa Flatei aliyasema hayo wakati akifungua josho la Garkawe, lililopo kata ya Maretadu wilayani Mbulu, mnamo tarehe 5 January, 2024.

                                                                                 Mh. Flatei Massay akizungumza na wananchi wa Garkawe mara baada ya uzinduzi wa josho.

“Niwaombe sana wananchi, hii ni ya kwenu muilinde, muichunge na muihifadhi, iende kwa muda mwingi zaidi. Mheshimiwa Rais namshukuru kwasababu ametupa fedha milioni 23 ya kuweza kujenga hili josho. Niwashukuru na ninyi viongozi kwa kweli mlikuwepo hapa na kusimamia shughuli hii ya ujenzi mpaka ikaisha, na pia niwaombe wananchi leo kuna dawa tumenunua ya kuwaanzishia halafu baada ya hapa mtaendelea na utaratibu wenu mtakaojipangia kila mnapotaka kuogesha mifugo.” Alisema Mhe. Flatei.

Naye Afisa Mifugo Nicodemus Michael alisema kuwa anamshukuru Mheshimiwa Rais na Mbunge wa Mbulu vijijini kwa msaada huu wa mradi wa josho na dawa. Pia aliwaambia wananchi wa Garkawe kuwa utaratibu wa kuogesha mifugo ni kwamba serikali imetoa dawa kama kianzio na baada ya hapo wananchi wenyewe mtatakiwa kununua dawa.

                                                        Afisa mifugo, Nicodemus Michael akitoa maelekezo ya namna ya kuogesha mifugo kwenye josho hilo.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa kijiji cha Garkawe, Petro Panga alisema kuwa josho lilianza January 2023, alisema wananchi walichanga mchanga, kokoto na mawe kwenye ujenzi huo. Ameishukuru serikali kwa kuwapa milioni 23 kwa ujenzi wa josho hilo la Garkawe.Amesema kwa sasa wanajipanga kuunda kamati ya kusimamia josho hilo.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.