• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MIRADI YA BILIONI 4.7 YAKAGULIWA NA TIMU YA WATAALAMU (CMT) YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU

Kurushwa hewani: September 22nd, 2025

Na, Magreth Mbawala,Mbulu DC.


Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu wamefanya ziara ya kukagua miradi ya shilingi Bilioni 4,764,666,012 kwa kipindi cha robo ya nne.


Ziara hiyo ilifanyika Tarehe 22-23/09/2025 katika kata mbalimbali ambapo jumla ya miradi thelathini na tatu (33) ilikaguliwa.


Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Ujenzi wa Uzio na ununuzi wa samani kwenye jengo la Halmashauri Mil. 778,ukarabati na ujenzi wa madarasa ya elimu maalum na matundu ya vyoo Shule ya Msingi Dongobesh chini Mil. 163.6, ukamilishaji wa vyumba vya madarasa Shule ya Msingi Laghangesh Mil. 15,ujenzi wa madarasa na matundu ya vyoo Shule ya Msingi Mangisa Mil. 88.6,ukamilishaji wa jengo la utawala na nyumba ya mwalimu shule ya Sekondari Bashay Mil. 40,Ujenzi wa Shule mpya ya amali ya Mkoa Bil. 1.6,ukamilishaji wa vyumba vya madarasa shule ya msingi shikizi Masqaroda Mil. 20,ukamilishaji wa ofisi ya kata ya Masqaroda Mil. 10,ukamilishaji wa vyumba vya madarasa shule ya msingi shikizi Miqaw Mil. 12.5,ujenzi wa nyumba ya Mwalimu shule ya msingi Masieda Mil. 51 na ujenzi wa kituo cha afya kata ya Masieda Mil. 586.


Pia miradi ya ujenzi wa shule mpya ya awali na msingi Dinamu Mil. 330.7,ukamilishaji wa madarasa katika shule ya msingi Genda Mil. 25,ujenzi wa choo cha Zahanati Muslur Mil. 29.4,ukamilishaji wa darasa moja shule ya Msingi Muslur Mil. 15,ukamilishaji wa ofisi ya kata Dinamu Mil. 10,ukamilishaji wa vyumba vya madarasa shule ya Msingi Shikizi Genda Mil. 15,ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu na vyumba viwili vya madarasa shule ya Msingi Getagujo Mil. 32.4,ujenzi wa choo na ukamilishaji wa nyumba ya mtumishi kwenye Zahanati Gidmadoy Mil. 29.5,ukamilishaji wa Hostel Shule ya Sekondari Maghang Mil. 50 na ujenzi wa madarasa ya awali,elimu msingi na matundu 12 ya vyoo Mil. 132.8 vilikaguliwa.


Aidha,chanzo cha fedha kwa miradi yote hiyo ni Serikali kuu ,Mapato ya ndani,Boost,SWASH,Sequip,WASH,GPE-Lannes,KOICA na TMCHIP.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU WAASWA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

    October 08, 2025
  • MGANGA MKUU WA WILAYA AMEKABIDHI VIFAA TIBA KWA FUNDI SANIFU VIFAA TIBA

    October 01, 2025
  • MIRADI YA BILIONI 5.3 MBULU DC YAKAGULIWA NA TIMU YA UKAGUZI MKOA

    September 29, 2025
  • MIRADI YA BILIONI 4.7 YAKAGULIWA NA TIMU YA WATAALAMU (CMT) YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU

    September 22, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.