• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO KUFIKISHWA RASMI WILAYA YA MBULU.

Kurushwa hewani: June 7th, 2023


Mpango wa Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuendelea kufanya upanuzi wa mkongo wa Taifa ili kuimarisha mawasiliano na kujenga jamii habari nchini,hatimae umeifikia wilaya ya Mbulu.                      

Katika mpango huo wa Serikali,wilaya ya Mbulu itakuwa miongoni mwa wilaya zitakazo fikishiwa Mkongo wa Taifa wa mawasiliano ili kurahisisha huduma za mawasiliano ya simu,huduma za malipo katika mitandao na taasisi za fedha,huduma za redio na Televisheni,pamoja na elimu mtandao.                                                 

Akizungumza katika kikao maalumu cha uwasilishaji wa taarifa rasmi ya kuanza kwa ujenzi huo mbele ya Mkuu wa wilaya ya Mbulu,Meneja wa huduma kwa wateja kutoka TTCL ndugu Wendlyne Mbagga pamoja na ndugu Edson Richard kutoka ofisi ya Mkongo wa Taifa,wameeleza kuwa ufikishwaji huo wa huduma za mkongo katika wilaya ya Mbulu,utakwenda sambamba na ujenzi wa kituo cha huduma kitakacho jengwa Mbulu Mjini.              

Akizungumza katika kikao hicho maalumu cha kuutambulisha mradi,Mkuu wa wilaya ya Mbulu Komred Kheri James amemshukuru Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi huo muhimu unaolenga kuboresha maisha ya wananchi na kurahisisha huduma katika jamii.                                              

Komred Kheri James amesema kuwa Serikali katika wilaya ya Mbulu imejipanga kuusimamia mradi huo vyema,na kuhakikisha unakamilika kwa wakati na kwa ubora unaotarajiwa ili kukidhi malengo ya huduma kwa wananchi.                          

Mkongo wa Taifa unatumika kutoa huduma za kisasa za utumaji na upokeaji wa Taarifa,pamoja na utoaji wa huduma za afya mtandao (e-health),Elimu mtandao (e-learning),Serikali mtandao (e-government) na huduma zingine nyingi za kiuchumi na kijamii.                                                

Maandalizi ya ujenzi wa upanuzi huo wa Mkongo kwa wilaya ya Mbulu yako tayari,na wakati wowote kuanzia sasa Mkandarasi ataanza utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa wananchi.       


                                 

 #Kwapamoja, Tunaijenga Mbulu yetu.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.