• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara Akagua na Kuridhishwa Utekelezaji wa miradi ya maendeleo Miradi ya Serikali Katika Sekta ya Elimu Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Leo Tarehe 07.12.2021.

Kurushwa hewani: December 7th, 2021

Wa katikati (shati la kijivu) ni Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, M. Nyerere na Kulia ni Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Sezalia V. Makota na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Ndg. A. A. Kuuli Katika Ziara Hiyo.


Wa katikati (shati la kijivu) ni Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, M. Nyerere Akipokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Ndg. A. A. Kuuli, Kulia ni Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Sezalia V. Makota Katika Ziara Hiyo.


Vyumba 2 vya Madarasa

Wa katikati (shati la kijivu) ni Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, M. Nyerere na Kulia ni Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Sezalia V. Makota WakipataUfafanuzi Toka kwaMkuu a Shule ya Sekondari Mamakari.


Vyumba 3 vya Madarasa

Wa Kwanza Kulia (shati la kijivu) ni Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, wa Kwanza Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Ndg. A. A. Kuuli na Katikati (Sketi nyeusi) ni Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Sezalia V. Makota Wakipata Ufafanuzi Toka kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Dr.Olsen.

Vyumba 3 vya Madarasa

Wa Kwanza Kushoto (shati la kijivu) ni Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, wa Kwanza Kutoka Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Ndg. A. A. Kuuli na Katikati (Brauzi ya kijivu) ni Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Sezalia V. Makota Wakiwa Shule ya Sekondari Endoji.

Vyumba 2 vya Madarasa Shule ya Sekondari Alexander Saulo


~~~~~~     HABARI KWA UFUPI    ~~~~~~  



Katika ukaguzi huo aliongozana na mwenyeji wake Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Sezaria V. Makota ambaye naye aliongozana na Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ya Mbulu na wataalamu wa Halmashauri ya Halmashauri ya Mbulu.

Katika ukaguzi huu Mhe. Mkuu wa Mkoa alianza ukaguzi Shule ya Sekondari Mamakari ambayo ndiyo wako hatua ya upauzi kwa sasa, kisha shule ya sekondari Dr.Olsen, shule ya sekondari ya Endoji na mwisho shule ya sekondari ya Alexander Saulo. 

Mhe. Mkuu wa Mkoa, M. Nyerere amemshukuru sana Mhe. Rais Samia S. Hassan kwa kuleta fedha hizi katika mradi hii kwani wananchi wanafarijika sana kwa kuona watoto wa jamii yao wanapata elimu bila kikwazo.


Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.