• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Kurushwa hewani: February 13th, 2025

Na Magreth Mbawala,Mbulu DC

Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Mbulu limepitisha kiasi cha shilingi bilioni 38,747,893,000 kama bajeti kwa kipindi cha mwaka 2025/2026.kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo na mishahara.

Mapendekezo hayo yalifanyika katika mkutano wa baraza la madiwani wakati wa kupitisha bajeti ya mwaka 2025/26 ambayo yalifanyika tarehe 13/2/2025 katika ukumbi wa Halmashauri.

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mbulu Mh Joseph Mandoo alisema kuwa kupitia vikao vya kamati mbalimbali za madiwani walikubaliana bajeti hii itawapa vipaumbele kata ambazo bado hawajafikiwa na miradi mikubwa ili kuongeza chachu kwa wananchi.

Sambamba na hilo Mh Mandoo alisema bajeti ya makusanyo ya ndani kwa waka huu wa fedha ni shilingi bilioni 3.5 hivyo ni jukumu la kila mmoja kuwajibika,kusimamia na kuhakikisha fedha hizo zinapatikana na kuendeleza rekodi ya kuwa kinara kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani kwenye halmashauri za mkoa wa Manyara.

Pia Mh Mwenyekiti alikumbusha kuwekwa kwa bajeti ya motisha ya walimu kwa shule ambazo zitafanya vizuri kwenye halmashauri maana ni jambo ambalo walishakubaliana ,Kwakufanya hivyo itaongeza ufaulu kwenye shule na ushindani utaongezeka.

Waheshimiwa Madiwani wakifuatilia Baraza la Bajeti,  Februari 13, 2025.

Naye Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbulu Abubakar Kuuli alisema kuwa bajeti ya mwaka huu wa fedha kwa mapato ya ndani ni bilioni 3.5 ambapo hadi kufikia mwezi huu wa pili tayari bilioni 2 zimeshakusanywa na wanatarajia watavuka malengo hayo kama ilivyokuwa desturi yao.

Wataalamu na  kamati ya Ulinzi na usalama wa Wiaya, wakifuatilia Baraza la Bajeti.

Mkurugenzi aliendelea kumshukuru Rais Dr Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwapa fungu kwenye bajeti ambayo inachangia uendeshaji wa halmashauri kwa kiasi kikubwa kwani bila fungu hilo wao kama halmashauri wangeweza kujiendesha kwa siku 33 tu ndani ya mwaka mzima.

Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay, akizungumza na wajumbe wa Baraza la Bajeti , Februari 13, 2025

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.