• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. C.M. Nyerere Aupongeza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kwa Kupata Hati Safi kwa Mwaka wa fedha wa 2020/2021

Kurushwa hewani: June 27th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. C.M.Nyerere Katika Kikao cha Hoja za CAG Kilichofanyika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu - Dongobesh, 

Kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mhe. Joseph G. Mandoo



Waheshimiwa Madiwani 

Wataalamu Mbalimbali





~~~~~~~~~~~~~~~~~~     HABARI KAMILI ~~~~~~~~~~~~~~~~




Haya yamejiri leo tarehe 24.06.2022 katika kikao maalumu cha Hoja za CAG ambacho Mwenyekiti wa kikao hicho ni Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Makongoro Nyerere ambaye ameupongeza sana uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kwa matokeo haya mazuri ya matumizi sahihi ya fedha za serikali lakini amesisitiza kuendelea kuongeza kasi zaidi katika maeneo ya msingi kama vile ukusanyaji wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya na kuongeza kasi zaidi katika vyanzo vilivyopo hasa kwa kuchambua changamoto husika na kuzitatua kwa wakati.

Mhe. Mkuu wa Mkoa huyo aliambatana na waandamizi mbalimbali wa kiserikali kutoka ofisi yake ikiwa ni pamoja na Mlezi wa Mkoa wa Manyara toka OR-TAMISEMI na Ofisi ya mkaguzi Mkazi mkoa wa Manyara. Kwa mujibu wa sheria namba 19 kifungu cha 5 Mkuu wa Mkoa atasimamia shuguli zote za ndani ya mkoa husika kwa maendeleo mapana ya watu wake.

Taarifa ya Mkaguzi ya hesabu kama ilivyowasilishwa na mkaguzi wa hesabu za serikali za mitaa mkoa wa manyara ambapo hoja zilikuwa 43 kati ya hizo 12 zilikuwa hajijafungwa kwa mwaka wa fedha 2020/2021 na taratibu za kuzitatua zinaendelea katika hatua mbalimbali. Katika ukaguzi huu ni utaratibu wa serikali wa kawaida katika kujiridhisha kama fedha zilizokusanywa zilitumika kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu sahihi, kujiridhisha kama manunuzi husika yalifuata sheria, kanuni na taratibu za manunuzi. Hata hivyo katika miradi ya maendeleo ukaguzi unafanyika kuangalia ubora wa miradi husika kama inaendendana na thamani ya fedha iliyotumika kwa hiyoo siyo kukosoa tu bali ni pamoja na kushauri wapi pa kuboresha ili kuimarisha miradi hii katika uwekezaj kwa maslahi mapana ya nchi yetu.

Mhe M. Nyerere amewapongeza kwa kupata hati safi kwani ni matokeo mazuri ya utendaji kazi kati ya madiwani na wataalamu wa  halmashauri ya wilaya ya mbullu. vigezo vya kupima utendaji  kazi wa halmashauri ni pamoja na uwezo wakukusanya mapato ya kutosha ili kuweza kuiendesha ofisi, kupeleka fedha za miradi ya maendeleo 40% na kupeleka 10% ya mikopo kwa vijana wanawake na walemavu na la mwisho ni kujibu hoja kwa nguvu zote.

Katika kikao hicho ililisitizwa kwamba katika mkakati wa kuzitatua hoja hizi ni muhimu wahusika waliosabanbisha hoja kwa uzembe ni lazima hatua zichukuliwe kwa mujibu wa sheria.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WANANCHI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU TAREHE 18.06.2022 June 16, 2022
  • TANGAZO KWA UMMA MAPOKEZI YA WATUMISHI AJIRA MPYA KADA YA AFYA NA ELIMU July 01, 2022
  • HERI YA SIKU KUU YA NANENANE KWA WANANCHI WOTE NA MATUKIO YA NANENANE 08.08.2022 August 08, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA SENSA July 18, 2022
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • Maonyesho ya Kanda ya Kaskazini ya Nanenane Arusha Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Leo 08.08.2022

    August 08, 2022
  • Maonyesho ya Kanda ya Kaskazini ya Nanenane Arusha Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

    August 04, 2022
  • Mafunzo Maalumu ya Timu ya Uchanjaji Chanjo ya Uviko 19 Yawa Chachu Katika Kuongeza Kasi ya Uchanjaji Katika Kikao Kazi Tarehe 30.07.2022

    July 31, 2022
  • KNY: Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mgeni Rasmi Ndg. Abubakar A. Kuuli (Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu) Awapa Wahitimu Mbinu Mbadala Namna ya Kujiajiri Katika Mahafali Taasisi ya Mafunzo ya Afya Haydom - Mbulu Tarehe 22.07.2022

    July 23, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

Burudani yaTwist yanogesha sherehe ya Wanawake Dongobesh
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.