• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Mzinga wakabidhi hati rasmi ya matumizi jengo la Utawala kwa Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.

Kurushwa hewani: April 21st, 2023


kutoka kushoto ni  Kiongozi toka DIT,Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, na Kiongozi wa Mzinga wakionesha Hati ya Makabidhiano

Ikiwa ni takribani miaka minne(4) tangu 26/03/2019 - 20/04/2023, ambapo Mkandarasi Mzinga Holding Company kwa kushirikiana na Mhandisi Mshauri kutoka Dar es Salaam Institute of Technology (DIT).

Meza ya Wakandarasi  Makamanda toka Mzinga wakiwa wanafuatilia majadiliano  wakati wa  makabidhiano.


 waliopewa dhamana rasmi ya kuanza ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu katika kijiji cha Dongobesh katika eneo la ardhi lenye ukubwa wa ekari 61 linalomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu hatimaye wameweza kamilisha rasmi na kukabidhi jengo hilo.

Mwenyekiti wa Halmashauri  Mhe.Joseph Mandoo akiongoza timu ya ukaguzi wa jengo kabla ya Makabidhiano

Mradi huu ulianzishwa kutokana na kugawanyika kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu na kuzaliwa Halmashauri ya Mji wa Mbulu ambapo ililazimu Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kuhama Mbulu Mjini na kuhamia hapa Dongobesh ili kutekeleza Sera ya Serikali ya kusogeza huduma karibu na Wananchi.

Viongozi mbalimbali wa timu ya Wahandisi Washauri toka DIT wakifurahi jambo wakati wa makabidhiano

Jengo hili limegalimu kiasi cha Tsh 4 bilioni fedha za ruzuku toka Serikali kuu ikiwa ni ujenzi wa awamu ya kwanza kwa mujibu wa makubaliano ambayo ilikuwa ni Tsh.5.1 bilioni,na ili kukamilisha ujenzi kwa awamu ya pilii tagharimu kiasi cha Tsh 6.3 ili kukamilika.

Muonekano wa Jengo letu la Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.

Wakikabidhi hati ya matumizi ya jengo kwa uongozi wa halmashauri baada kurizika na ujenzi kwa kiwango kikubwa DIT (Mhandisi Mshauri) ambaye alikuwa msimamizi na mwangalizi wa jengo pamoja na taasisi ya Mzinga aliyekuwa Mkandarasi wamefanya hivyo ili kuruhusu matumizi rasmi ya jengo kuendeleakwa ufasaha nakutoa ruksa kwa halmshauri kuweza kuendelea na taratibu mbalimbali za kiutendaji.


Timu mbalimbali za Wataalam mbalimbali wakiwa katika ukaguzi wa Jengo

Aidha jengo hili litakuwa katika uangalizi wa Mkandarasi kwa kipindi cha mwaka mzima ambapo mkandarasi atakuwa site kwa uangalizi wa jambo lolote litalotokea.

Hiki moja ya Vyumba maalumvilivyofungwa mitambo mbalimbali wataalam wakishuhudia jinsi kinavyofanya kazi.

Wakiongea viongozi kwa nyakati tofauti wametoa rahi kwa watumiaji wa jengo kuwa na uchu wa kile kilichopo kwani itasaidia kutunza na kulinda kuwa ustadi jengo letu ili kusaidia jengo hilo kwa vizazi vijavyo.

Mwenyeki wa Halimashauri pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wakisoma kwa pamoja hati ya Makabidhiano

Jengo hili ni moja ya majengo bora nchini tangu taasisi hii kuanza kujenga,hivyo tunaomba tulinde na kuyatunza ili panapotokea tatizo liweze kufanyiwa marekebisho kwaharaka kwa kipindi hiki cha uangalizi.


Wakandarasi toka Mzinga wakiongozwa na Kamanda Juma(mwenye shati jekundu) wakiendelea toa maelekezo mbalimbali

Kwa upande wa halmashauri umeahidi kuendelea kumtumia DIT kwa shughuli mbalimbali za ubunifu na usanifu kwani bado tunayo mahitaji mengi katika jengo hili.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.