• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA MWAKA MPYA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM, DONGOBESH MBULU.

Kurushwa hewani: December 31st, 2024

Na, Ruth Kyelula & Magreth Mbawala, Mbulu DC.

Rais Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za mwaka mpya 2025 kwa watoto wenye mahitaji maalumu, shule ya msingi Dongobesh Viziwi, ili washiriki sikukuu ya mwaka mpya kwa furaha.

Zawadi hizo zimetolewa leo Desemba 31,2024 na Katibu Tawala wa Wilaya, Paulo Bura, ambae amemuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Manyara na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Kwa niaba ya Mhe. Rais Dk. Samia kwenye Shule ya Msingi Dongobesh Viziwi, iliyopo kata ya Dongobesh, Mbulu.

“Jambo la kwanza nimeelekezwa nifikishe salamu za Mhe. Rais kwenu wana Dongobesh, kwamba yupo pamoja nasi wana Dongobesh na wana Mbulu kwa ujumla, katika kusukuma gurudumu la maendeleo lakini pia nimeshukuru kuwaona wawakilishi wa wanafunzi wapo na ndio tutawapa hizi bidhaa ambazo ameziandaa yeye mwenyewe.” Alisema Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbulu, Bura.

Alisema Mhe.Rais anawashukuru hususani waalimu wa shule hii ya viziwi ya Dongobesh kwa jinsi wanavyoendelea kuwaandaa wanafunzi hawa wenye mahitaji maalumu na ambao wanahitaji taaluma ya kipekee.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri, Joseph Mandoo, alisema kuwa anamshukuru Mhe.Rais kwa namna anavyoendelea kuwahudumia watanzania wa maeneo mbalimbali, hasa kwenye hii Nyanja ya kuwasaidia watoto wenye uhitaji, na hasa shule ya Dongobesh Viziwi ina uhaba wa chakula kama wanavyofahamu, na wakaona ni vema kupitia agizo la Mhe. Rais kuwapeleka chakula.

Katibu Tawala, Paulo Bura, amekabidhi Mbuzi mmoja, chumvi, mchele, sukari, sabuni ya mche na ya unga, mafuta ya kupikia na Maharage.

“Kipekee nipende kumshukuru Mhe.Rais na kumpongeza kwa namna ameweza kuwajali watoto wetu wa Tanzania wakiwepo hawa wa shule ya msingi Viziwi Dongobesh.” Alisema Mandoo.

Kwa upande wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Abubakar Kuuli, alisema kuwa kuna haja ya kila mmoja kuangalia kwenye maeneo wanaoishi, wahitaji ambao wanaweza kuwapa zawadi ya chakula kwa siku ya mwaka mpya hata kama ni kilo moja ya mchele na kilo moja ya nyama ili nao wafurahie mwaka mpya, na itakuwa ni moja ya kumuunga mkono Mhe.Raisi.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.