• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

TIMU YA MADAKTARI BINGWA WA SAMIA WAFANYA UPASUAJI KWA MARA YA KWANZA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA MBULU

Kurushwa hewani: October 9th, 2025

habari na Nashon

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu wapongeza uwepo wa timu ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia iliyoanza kutoa huduma za kibingwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kuanzia tarehe 06/10/2025 hadi tarehe 10/10/2025

Timu hii inaongozwa na Daktari bingwa wa Watoto, Daktari bingwa wa kinamama, Daktari bingwa wa Magonjwa ya ndani, Daktari bingwa wa Upasuaji, Daktari bingwa wa Usingizi na Daktari bingwa wa kinywa na meno

Aidha, Ujio wa madaktari hawa unakwenda kuacha alama kwani kwa mara ya kwanza hospitali hii imefanya huduma za upasuaji, sambamba na hilo ujio huu umeongeza uzoefu kwa madaktari wa halmashauri.

Ujio huu umeleta faida kwa wakazi wa halmashauri hii kupitia huduma za kibingwa kwani wananufaika na huduma zinazotolewa na timu hii ya madaktari.

Huduma hii inahusisha wanufaika wa Bima ya afya pamoja na watumiaji wa malipo kwa bei rahisi sana.









Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DC SEMINDU ATAKA KASI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MIRADI

    November 24, 2025
  • LAGANGESH WANUFAIKA NA ELIMU YA AFYA, LISHE NA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

    November 12, 2025
  • DC SEMINDU AWATAKA WATAALAMU MBULU DC KUENDELEA KUWAJIBIKA KATIKA MAJUKUMU YAO.

    November 18, 2025
  • WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU WAASWA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

    October 08, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.