• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Wafugaji Waleta Mifugo Yao kwa Wingi kwenye Chanjo ya Homa ya Mapafu Ikiwa ni Moja ya Nguzo za Ufugaji Bora Wilayani Mbulu leo tarehe 24.03.2021.

Kurushwa hewani: March 24th, 2021


Kama Inavyoonekana Katika Picha ya Hapo Juu, ni Afisa Mifugo Bw. Richard  Akiendelea na Zoezi la Kuchoma Chanzo ya CBPP Katika Viwanja Vya Kituo cha Kuchanja Mifugo Mkabala na Stendi Kuu ya Mabasi ya Dongobesh.

Kama Inavyoonekana Katika Picha za Hapo Juu, Wananchi Wakiswaga Mifugo Yao Ndani ya Uzio wa Chanjo Tayari Kwa Chanjo Katika Viwanja Vya Kituo cha Kuchanja Mifugo Mkabala na Stendi Kuu ya Mabasi ya Dongobesh.


Katika Picha za Hapo Juu, Kutoka Kushoto ni Afisa Mifugo Kata ya Dongobesh Bi. Flora Semitende Akitoa Risiti ya Kielektroniki Kwa Kutumia "POS" Baada ya Kumhudumia Mwananchi Petro Naaman Aliyechanja Mifugo Yake. 


Baadhi ya Mifugo Ikisubiri Kuingia Kwenye Uzio Huo Ili Kupata Chanjo Katika Viwanja hivi.

Baadhi ya Mifugo Ikiondoka Kituoni Hapo Baada ya Kupata Huduma ya Chanjo Hiyo.

Baadhi ya Wataalamu wa Mifumo Ikiwa ni Kikosi Kazi cha Zoezi la Chanjo Wilayani Mbulu.


Afisa Mifugo wa Kata ya Tumati Wilayani Mbulu kiwa Miongoni mwa Kikosi Kazi Hiki Katika Kutoa Huduma Hii Muhimu kwa Wananchi.





~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~          HABARI KAMILI         ~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~      




Katika kuhakikisha wananchi wananufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi ikiwemo mifugo kama vile ng'ombe, wananchi hawa wameamua kujitokeza kwa wingi katika uchanjaji wa mifugo yao ili waweze kupata faida kupitia mifugo yao baada ya kuwa na uhakika wa kuishi kutokana na kupata chanjo ya homa ya mapafu (CBPP) ambayo ni kinga ya ugojwa huu unaosumbua sana mifugo hii kwa rika zote.


Haya yamejiri leo katika zoezi endelevu la uchanjaji mifugo zoezi lililofanyika jana na leo kijiji cha Dongobesh kata ya Dongobesh ambapo ng'ombe takribani 1538 wamechanjwa leo katika kituo cha kuchanjia mifugo mkabala na stendi kuu ya Dongobesh. Ratiba ya kuendelea vijiji vingine itapangwa kijiji gaji na kata ipi ya kuendelea nayo ambapo hufanyika siku 2 kwa kila kijiji cha zoezi la uchanjaji huu. Hata hivyo kabla ya kutoa huduma hii hapa, kikosi kazi hiki kilikuwa kata jirani ya Tumati ambako mifugo ipatayo 2475 ilichanjwa.


Tunaishukuru Serikali kwa kuwaajiri hawa wataalamu wa mifugo kupitia Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ambapo huduma hii inatolewa kwa wananchi kwa bei elekezi ya Tshs. 500/= kwa ng'ombe mmoja ambapo risiti ya kielektroniki hutolewa kwa mteja kama kithibitisho na kuhakikisha fedha hizi zinakuwa salama ili tuweze kununua madawa ya chanjo nyingi nyingi zaidi.  


Kwa msisitizo, Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji bado inawahimiza wananchi kuitikia mwito huu zaidi hususani kwa maeneo yanayo endelea kuchanja ili kuwa na uhakika wa faida ya mifugo kwa kutoathirika na homa hii mbaya kwa mifugo yao.


Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.