• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

WAMILIKI WA VITUO VYA WATOTO WATAKIWA KUSAJILI VITUO VYAO.

Kurushwa hewani: November 14th, 2024

Magreth Mbawala, Mbulu DC,

Katibu wa afya wa halmashauri ya wilaya ya Mbulu bwana Pascas Isondo ambaye amemwakilisha mganga mkuu wa wilaya amewataka wamiliki wa vituo vya Watoto wasajili vituo vyao kwenye mamlaka husika na vitambulike ili waweze kutoa huduma.

Baadhi ya walimu wakiwa wanafuatilia masomo katika semina iliyokuwa inaendelea.

Hayo yalisemwa na katibu wa afya wa wilaya bwana Pascas Isondo wakati wa kufunga mafunzo ya walimu na taasisi zote zinazohusika na malezi ya Watoto chini ya umri wa miaka mitano,yaliyofanyika kwa siku tano kuanzia tarehe 11-15 Novemba 2024 na kuhudhuriwa na walimu 35, katika ukumbi wa kanisa la TAG Dongobesh.

Walimu na wakufuzi wakiwa kwenye picha ya pamoja, baada ya kumaliza mafunzo.

“Ninyi ni mfano mzuri sana wa kuigwa kwa malezi na makuzi ya Watoto wetu hivyo mkazingatie vizuri elimu mliyopewa hapa na myafanyie kazi ili tuweze kuwa na vituo ambavyo Watoto wetu watapata malezi yanayotakiwa.” alisema Isondo.

Naye mkufunzi wa mafunzo bwana Chriss Madaha kutoka Wizara ya maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makundi maalum alisema mafunzo haya yanawalenga wamiliki wa shule za Watoto wadogo (daycare) na taasisi nyingine kama nyumba za Watoto yatima na nyumba salama,ikiwa na shabaha ya kuunga mkono serikali kuboresha malezi kwa kuwa na watoa huduma wenye elimu ya malezi.

Pia bwana Madaha alisema hii ni awamu ya pili kufanya mafunzo haya katika halmashauri ya wilaya ya Mbulu na yatakua endelevu kutokana na uhitaji wa jamii husika.

Aidha mkuu wa kitengo cha ustawi wa jamii Ezekiel Assecheck aliwashukuru taasisi ya Birth Hope Centre kwa ufadhili wa asilimia mia kwa watu thelathini na kuweza kufanikisha mafunzo hayo pia alitoa wito kwa walimu na walezi wasiokua na mafunzo wajitokeze ili kupata elimu kwa wakati mwingine.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.