• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

WANAUME WAASWA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA LISHE KWA NGAZI YA FAMILIA

Kurushwa hewani: January 16th, 2025

Afisa lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Jackline David, amewaasa wanaume kuwa mstari wa mbele kushiriki kwenye masuala ya lishe kwa ngazi ya familia na jamii ili kufuta tatizo la utapiamlo kwa watoto hasa wenye umri chini ya miaka mitano.

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Idara ya Afya wakiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe katika kijiji cha Guye.

Hayo yamesemwa kwenye maadhimisho ya siku ya lishe yaliyofanyika siku mbili mfululizo ya tarehe 15-16/01/2025 katika vijiji vya uye na Qaloda ili kukamilisha robo ya pili ya mwaka.


“Watoto wengi wenye utapiamlo chanzo kikubwa ni baba kwa sababu wengi wao hawalei familia au ulevi uliokithiri na kumwachia mama shughuli zote za ulezi na uzalishaji.” Alisema Jackline David.

Pia alisema wanaume wengi wakiitwa kwenye vikao na mikusanyiko inayohusu lishe hawajitokezi kabisa au wanatokea kwa idadi ndogo kwasababu wanaona ni mambo ambayo hayawahusu kitu ambacho sio kweli kwani jukumu la lishe kwa familia linawahusu wazazi wote baba na mama.

Naye afisa lishe Lutengano Emmanuel, alisema kuwa familia zisiuze mazao yote wanayolima na kufuga kwa ajili ya kujipatia kipato bali wawe wanautamaduni wa kuacha na vya familia kwa ajili ya kula ili wajipatie afya bora.

Pia aliwahamasisha kulima na mazao ambayo huwa hawalimi lakini ni mazuri kwa lishe bora lakini pia ardhi yao inakubali.Aliyataja mazao hayo ni pamoja na ndizi,magimbi,choroko na njegere.


Naye mratibu wa huduma za afya ya uzazi na mtoto wa halmashauri ya wilaya ya Mbulu Dr. Uyonyimoo Mchaki aliwaambia umuhimu wa kupanga uzazi na kutumia njia za uzazi wa mpango kama familia kwani kuna Imarisha afya ya mama na pia kuna mpa mtoto nafasi ya kunyonya kwa muda wa miaka miwili ambao unashauriwa na wataalamu.

Mratibu wa huduma za afya ya uzazi na mtoto wa halmashauri ya wilaya ya Mbulu Dr. Uyonyimoo Mchaki akitoa elimu kwa wanawake wa kijiji cha Guye.

Pia aliwasisitiza kina mama kuhudhuria kliniki mara wanapojigundua ni wajawazito na pia kuacha tabia za kujifungulia nyumbani kwa wakunga wa jadi kwani kunahatarisha afya ya mama na mtoto. Aliwashauri wanaume wawapeleke wenza wao kliniki ili wapokee ushauri wa wataalamu wakiwa pamoja hata mmoja akisahau mwingine atamkumbusha mwenzake.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • KAMATI LISHE YAKAA KIKAO CHA TATHIMINI YA HALI YA LISHE KWA ROBO YA TATU

    May 08, 2025
  • MADIWANI WAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI KATIKA KATA ZAO

    April 29, 2025
  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.