• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Watendaji wa Kata na Vijiji wahimizwa kusimamia Ukusanyaji wa Mapato kwa Ufasaha- Mbulu DC

Kurushwa hewani: October 29th, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu akisisitiza jambo ndani ya kikao kazi cha Watendaji wa Kata na Vijiji.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu, ndugu Hudson Kamoga amewataka Watendaji wa kata na Vijjji kusimamia Ukusanyaji wa Mapato yatokanayo na vyanzo vya ndani kwa Ufasaha na kwa kasi zaidi ili kufikia lengo lilokusudiwa na halmshauri kwa mwaka fedha 2108/2019,ameyasema hayo hii leo katika kikao kazi kilichojumuisha Wataalam wa halmashauri na Watendaji wa Vijiji 76,Kata 18 ndani ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.

Ndugu Kamoga amewataka Watendaji wote kuwa chachu ya kusimamia Mapato na Matumizi kwa kila Mtendaji wa Kata na Kijiji uku akisisitiza uwazi na ukweli wa fedha zote zinazokusanywa ndani kata au kijiji husika kwa kuepuka kesi zisizokuwa na sababu.

Mkurugenzi akiwa meza kuu pamoja  na maafisa utumishi, toka kulia ni Eliah Samata(afisa utumishi), Horace Kolimba( Afisa Utumishi Mkuu), Magreth Masawe(Afisa Utumishi) na Chamba Kajeri.


“Kikao hiki mmeitwa hapa kwa lengo la kukumbusha majukumu yenu ya kila siku na ndio maana hii leo Wataalam toka kila Idara na Vitengo wataongelea kila mmoja sehemu ya majukumu yake”.alisema Kamoga.

Aidha Mkurugenzi amesisitiza kufuatilia kwa karibu zaidi Mapato yanayokusanywa ndani ya kata/ kijiji husika na kuhaidi kuwanunulia vifaa vya kukusanyia mapato (POS) ili kila chanzo kinachokusanywa kiwe kimepitia mfumo sahihi wa ukusanyaji. 


Baadhi ya Watendaji wa Vijiji wakiwa katika kikao, kutoka kushoto ni Bi.Sentala L. Katule Mtendaji wa  Kijiji cha Basoderer,Mariam A. Songoro Mtendaji wa Kijiji cha Qatabela, na Bi. Rachel C. Patrick Mtendaji wa Kijiji cha Garbabi

Ndugu kamoga ametoa pongezi wa Watendaji wale wote wanaokuwa wepesi kutoa taarifa ya kimandishi ofisini kwake pale wanaposhindwa kusoma taarifa ya Mapato na matumizi kwa wakati, na kutoa wiki mbili kuhakikisha kila kijiji kiwe kimekamilsha taratibu zote za ufunguaji wa akaunti kwa ajili yakuingiziwa fedha za mfuko wa jimbo kwa maendeleo ya kijiji.

Mtendaji wa kijiji cha Harsha ndugu Isaya M.Kazi wa kwanza kulia na ndugu Malkiadi J. Haqwet Mtendaji wa kijiji cha Gidhim wakiwa katika kikao kazi hii leo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Mhe Joseph Mandoo amewataka kila Mtendaji wa kata na kijiji kuhakikisha wanakuwa na Sheria ndogo zilizopitishwa na vikao halali vya halmashauri zitakazowalinda pindi wanapoenda kukusanya mapato na hata kutoza faini ziwe za halali. Pia mwenyekiti amewataka watendaji kuwa wasimamizi wa karibu kwa miradi inayoendelea ndani ya eneo husika uku akiwataka wasisite kutoa taarifa pale wanapoona mradi unaondelea hawajaridhishwa na mwenendo wake. 


Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.