• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

WATUMISHI WA SERIKALI NA MASHIRIKA BINAFSI WAPOKEA MAFUNZO YA KUONGEZA UELEWA JUU YA UKATILI WA KIJINSIA NA UKATILI DHIDI YA WATOTO KATIKA JAMII KUTOKA ONE STOP CENTER KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU.

Kurushwa hewani: October 13th, 2025

Na. Nashon Biseko

One stop Center imeongoza Mafunzo ya Uelewa juu ya Ukatili wa Kijinsia na Ukatili dhidi ya Watoto katika jamii kwa Watumishi wa Serikali wa maeneo mbalimbali ya Wilaya na Mashirika Binafsi mapema hii leo tarehe 13/10/2025, Mafunzo haya yamelenga kuongeza uelewa juu ya kupambana na changamoto mbalimbali za Ukatili katika Jamii, Mafunzo haya yanatarajiwa kuisha tarehe 17/10/2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.

Mafunzo haya yamefunguliwa na Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya Dr. Shadrack Makonda na Kuhudhuliwa na Maafisa Ustawi wa jamii, Watumishi wa Afya, Polisi, Maafisa Mashitaka (Wanasheria) na Wageni kutoka nje ya Nchi kwa lengo la kongeza uelewa katika jamii juu ya Ukatili wa kijinsia na Ukatili dhidi ya Watoto, Akisema ukatili wa kijinsia ni tatizo kubwa katika jamii zetu uwepo wa huduma mbalimbali kama huduma za afya, Ustawi wa jamii, Dawati la jinsia katika jengo moja imesaidia waathirika wa matatizo haya kupata huduma kwa urahisi.

Aidha,  Daudi Donald ambaye ni mwendeshaji wa mafunzo haya Amesisitiza kuwa Mkoa wa Manyara ni Miongoni mwa Mikoa yenye changamoto za ukatili wa kijinsia  na ukatili dhidi ya watoto akiwataka Watumishi wote waliohudhulia kwenda kupambana na kuongeza uelewa katika jamii kwani tiba ya tatizo hili ni sisi wenyewe.

“Mkoa huu ni miongoni mwa mikoa yenye ukatili wa Kijinsia na tiba ya tatizo hili ni sisi wenyewe, Katika Ushiriki wa Mafunzo haya tayari umefunga Mkataba wa Kupambana na Ukatili katika Jamii” Alisema Donald 




Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU WAASWA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

    October 08, 2025
  • MGANGA MKUU WA WILAYA AMEKABIDHI VIFAA TIBA KWA FUNDI SANIFU VIFAA TIBA

    October 01, 2025
  • MIRADI YA BILIONI 5.3 MBULU DC YAKAGULIWA NA TIMU YA UKAGUZI MKOA

    September 29, 2025
  • MIRADI YA BILIONI 4.7 YAKAGULIWA NA TIMU YA WATAALAMU (CMT) YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU

    September 22, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.