• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

WAZIRI MKUMBO AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA UJENZI WA WODI TATU HOSPITALI YA WILAYA YA MBULU NA BARABARA YA LAMI DONGOBESH

Kurushwa hewani: January 2nd, 2025

Na, Ruth Kyelula, & Magreth Mbawala, Mbulu DC

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Mhe.Prof. Kitila Mkumbo, jana Januari 2, 2025, amefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa wodi tatu, wodi ya watoto, wodi ya wanawake na wodi ya wanaume katika Hospitali ya Wilaya na pia aliweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika mji wa Dongobesh.

Mhe.Waziri Kitila Mkumbo akizungumza na wananchi wakati wa kuweka jiwe la msingi wa ujenzi wa wodi tatu katika hospitali ya Wilaya ya Mbulu

“Mhe.Rais ameniagiza nije Dongobesh, nikague mradi huu, na nimpelekee taarifa kama mradi upo ama haupo, kwahiyo ndugu wananchi nimeridhishwa sana na utekelezaji wa ilani wa eneo hili, Lakini hongereni kwa kupata hospitali ya Wilaya.Maendeleo ndugu wananchi ndio haya, huduma kwa wananchi, kuweka miundombinu, kutengeneza mazingira ili wananchi wakae vizuri, wafanye shughuli za maendeleo” Alisema Mhe.Kitila Mkumbo.

Aliendelea kusema kuwa lengo la Serikali ni kuona kina mama wanajifungua salama, na akasema mwaka 2000 katika nchi hii katika kila wakina mama laki moja wanaojifungua, wakina mama Zaidi ya mia sita hamsini walikuwa wanafariki katika kila laki moja, wamepambana mpaka ilipofika 2022 wamepunguza toka 650 mpaka 104, lengo letu ni wakina mama wote wajifungue salama na ndio lengo la Mhe.Rais Samia.

Mhe.Kitila kwa upande wa mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami mji wa Dongobesh wenye gharama ya shilingi 474,975,000 aliwapongeza wana Dongobesh na kusema hiyo ni alama kubwa sana ya maendeleo katika eneo husika.

Mhe.Waziri Kitila Mkumbo akizungumza na wananchi wakati wa kuweka jiwe la msingi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami mji wa Dongobesh

Kwa upande wa Mbunge wa Mbulu vijijini, Mhe.Flatei Massay alisema kuwa anamshukuru Mhe.Rais Samia kwa kutekeleza ahadi yake kwa vitendo, katika kampeni zake za mwaka 2020, ujenzi wa lami km 4, katika mji wa Dongobesh, na kusema kuwa hatuna deni.

Naye Mhandisi wa Wakala wa Barabara za vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) Wilaya ya Mbulu, Nuru Hondo amesema kuwa hadi sasa mradi upo asilimia 70 ya utekelezaji, na mradi una gharama ya shilingi 474,975,000, na mpaka sasa mkandarasi yupo saiti anaendelea na kazi.Na alieleza mradi huo umeboresha sana mji wa Dongobesh.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.