Mkuu wa Wilaya kawaomba wananchi wa Dongobesh kumshukuru kwa Kipekee Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli kwa kuipendelea halmshauri ya Wilaya ya Mbulu kwa kuwaletea miradi ya maendeleo mikubwa
Mkuu wa Wilaya ametoa offer hiyo kwa wananchi wa Dongobesh ili kuwaruhusu watoto wao wakajiunge coz mbalimbali
Mkurugenzi Mtendaji ameyasema hayo katika viwanja vya ofisi ya kata Dongobesh wakati wa maadhimisho ya Sherehe za wanawake tarehe 8/03/2020
Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.