Burudani yaTwist yanogesha sherehe ya Wanawake Dongobesh ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa halmashauri
Mkuu wa Wilaya kawaomba wananchi wa Dongobesh kumshukuru kwa Kipekee Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli kwa kuipendelea halmshauri ya Wilaya ya Mbulu kwa kuwaletea miradi ya maendeleo mikubwa
Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.